BAADA YA MANENO YA WATU SOLANGE AJITOSA KUOLEWA NA LIBABA LA MIAKA 51. WATU NAO KWANI INAWAHUSU NINI..!
Posted on by Unknown
Watu wengi wametokea kuikosoa ndoa ya Solange
kwa utofauti wa umri kati yao. Solange mwenye umri wa miaka 28 amejitosa kuolewa na Alan Ferguson mwenyewe umri wa miaka
51 baada ya kuandamwa na watu wengi kwamba amekosa mwanaume wakumwoa. Usupa staa bana shida sana, sasa baada ya kuolewa maneno yameanza tena ohhhh...hawaendani umri..! Ukiwasikiliza watu huwezi olewa.
Post a Comment